Dennis Shonko kwenye Gazeti la Taifa Leo

Dear friend… this is for you!

Dear friend… this is for you!

Dear friend… this is for you!

What really happened to the days when friendship was real and true? When friends once cared about one’s ongoing academically, morally, socially, physically… lly? The list is always endless. Is it me who changed? I have always asked myself and if my change was so radical and spontaneous, then why wasn’t I corrected? Why do we have to let this change drive a whole consequence to a wacky end?

Spare me the crap! If it is for the so called ‘relations’ the last time I checked you read a book of that caliber — self-confidence — but seems your style has changed from ‘Think Big’ to ‘300 Things a Girl Should Know About Boys.’ Continue reading

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine – Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine - Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine – Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine ni mkusanyiko unaoleta pamoja mawazo, hisia na fikra za waandishi mahiri kuhusu jamii. Ni juhudi za kuakisi ukweli wa hali halisi ilivyo na kumchorea msomaji taswira kamili kuhusu madhila ya uongozi, njaa, dawa za kulevya na mahusiano ya kijamii; kwa ujumla yaliyodorora. Wakati huo huo, wanamzindua juu ya mabadiliko; kuu likiwa kupatikana kwa katiba mpya.

Waandishi basi hawakuzungumzia madhila tu ila wanapendekeza jinsi suluhu ya baadhi ya matatizo inavyoweza kupatikana. Tashtiti, maswali ya balagha na tashbihi zilizoshamiri katika nyingi za hadithi hizi zinadhihirisha uchungu, kero, dhiki na kiu ya waandishi; msukumo wa kutaka kuhusika na kujihusisha na kupatikana kwa jamii bora. Wanaamini haya ndio matamanio ya wasomaji na jamii kwa jumla.

Continue reading

Maisha Kitendawili – John Habwe.

Riwaya hii ya kusisimua inatuingiza katika bahari tesi ambamo asiyesimama imara huzama ji! Unapoisoma unachukuliwa na wimbi la vitushi vya hadithi iliyotambwa kwa hadithi ya kipekee.

Jomo Kenyatta Foundation.
John Habwe.

Maisha Kitendawili - John Habwe.

Maisha Kitendawili – John Habwe.

Continue reading

“The Politics of Betrayal in Kenya” by Joe Khamisi

– Former MP Joe Khamisi has authored a thought-provoking book entitled, The Politics of Betrayal in Kenya, aimed at‘exposing the rot in the Kenya political system’. The book illustrates how the electorate has been betrayed their political ‘leaders’.

It mainly centres on the politically shaky period between 2001 and 2008 and particularly on president Kibaki’s first term in office (when the author was himself a member of parliament). It also delves into historical happenings like President Moi’s rule (1978-2002) mentions instances of gov’t repression and grand corruption. Continue reading

Sowing the Mustard Seed by Yoweri Kaguta Museveni

Sowing the Mustard Seed by Yoweri Kaguta Museveni

Sowing the Mustard Seed by Yoweri Kaguta Museveni

Sowing the Mustard Seed contains a graphic account of a turbulent period in Uganda and provides an insider’s account of the wasted years following Amin’s overthrow in 1979. When Uganda’s first general election in two decades was rigged in December 1980, Museveni launched a guerilla war to fight against Milton Obote’s Sectarian dictatorship.

The war of liberation started in February 1981 with only 27 guns, and the National Resistance Movement and Army eventually took power in January 1986 and began the arduous task of rebuilding a shattered nation. Continue reading

Hafla ya Uzinduzi wa Tamthilia ya ‘Mbaya Wetu’ – Ken Walibora

“Tunakualika rasmi kwa uzinduzi huu utakaongozwa na PLO. Lumumba na Ken Walibora. Zaidi, kutakuwa na mchezo wa kuigiza kuhusu kitabu.

 

Hafla ya Uzinduzi wa Tamthilia ya 'Mbaya Wetu' - Ken Walibora

Hafla ya Uzinduzi wa Tamthilia ya ‘Mbaya Wetu’ – Ken Walibora

 

KOPO LA MWISHO NA HADITHI NYINGINE –OMAR BABU (Mhariri)

KOPO LA MWISHO NA HADITHI NYINGINE –OMAR BABU (Mhariri)

KOPO LA MWISHO NA HADITHI NYINGINE –OMAR BABU (Mhariri)

Kopo la mwisho na hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi ambazo zimepigwa msasa tena kwa makini naye Omar Babu [Abu Marjan] ambaye ni mshairi na mwandishi wa riwaya na hadithi fupi.

Ni diwani inayoshughulikia maudhui tofautitofauti; Ukabila, siasa. Elimu, mapenzi n.k  … “Ni hadithi zinazoandama mtindo sahili na zinazoashiria masuala yanayomkabili binadamu.”

Kopo la mwisho na hadithi nyingine

Continue reading

Tamthilia ya ‘MBAYA WETU’ na Ken Walibora

Tamthilia ya 'MBAYA WETU' na Ken Walibora

Tamthilia ya ‘MBAYA WETU’ na Ken Walibora

“Kwa wale hawaja soma Mbaya Wetu, ni mwari mwenye sifa zake. Ni kazi inayotanguliza mkondo mwingine katika uandishi wa tamthilia ya Kiswahili. Kwa mara nyingine, mbinu ya mkono ya Ken Walibora imedhihirisha utamu na ukwasi uliomo katika Fasihi ya Kiswahili.”

Kenna Wasike

Continue reading

The Green Cross of Kafira By Francis D. Imbuga

 The Green Cross of Kafira By Francis D. Imbuga

The Green Cross of Kafira By Francis D. Imbuga

The Green Cross of Kafira, published posthumously by Bookmark Africa, is the last in a trilogy of Kafira plays that started with Betrayal in the City (1975), followed by Man of Kafira, first staged in 1979.

When the play opens, they are on a spying mission that is supposed to be so covert, it must be carried out in the absence of their personal assistants, drivers and even bodyguards. Continue reading

DEN OF INEQUITIES – KINYANJUI KOMBANI DOES IT AGAIN

DEN OF INIQUITIES - KINYANJUI KOMBANI DOES IT AGAIN

DEN OF INIQUITIES – KINYANJUI KOMBANI DOES IT AGAIN

Kinyanjui Kombani, “the writer of the critically acclaimed” Novel ‘The Last Villains of Molo’ comes “DEN OF INIQUITIES

Published by Longhorn Publishers, Continue reading

KAMUSI TEULE ya Kiswahili – Kilele cha Lugha; East African Publishers Ltd.

KAMUSI TEULE ya Kiswahili - Kilele cha Lugha; East African Publishers   Ltd.

KAMUSI TEULE ya Kiswahili – Kilele cha Lugha; East African Publishers Ltd.

Yapo makamusi na kamusi ambazo hazikomi kuchapishwa kila uchao; Hili ni
jambo la kupendeza na la kufurahikia maana’ke, inaashiria kesho njema
yenye utajiri wa mengi katika lugha ya Kiswahili.

KAMUSI TEULE ya Kiswahili – Kilele cha Lugha

“Ni zao la utafiti wa kina uliofanywa na waandishi na wanaleksikogrofia
wenye tajriba kubwa. Continue reading

Tamthilia ya ‘AMEZIDI’ na Said A. Mohamed

Tamthilia ya 'AMEZIDI' na Said A. Mohamed

Tamthilia ya ‘AMEZIDI’ na Said A. Mohamed

Ame na Zidi wanajikuta katika umaskini mkubwa katika bahari iliyohaa mali. Katika hali hii ya uhitaji, wanatambua kuwa hawana jingine la kufanya ila kuomba msaada ili wayatosheleze mahitaji yao. Msaada unapokuja, unaleta unaleta madhara mengi zaidi.

Huu ni mchezo mawazoni unaotazama matatizo ya kijamii na ya kiuchumi katika nchi nyingi za kiafrika za hivi leo.

Mwandishi alizaliwa Unguja (Zanzibar) mwaka wa 1947. Alielimishwa huko huko Unguja na baadaye akajiunga na chuo kikuu cha Dar-es- Salaam, na kisha chuo kikuu cha Leipzig, Ujerumani. Amefundisha katika shule za upili na vyuo mbalimbali. Kabla ya ku7hamia Ujerumani, alikuwa Profesa katika Chuo kikuu cha masomo ya kigeni cha Osaka, Ujapani. Continue reading

Riwaya ya ASALI CHUNGU na Said Ahmed Mohamed

Riwaya ya ASALI CHUNGU na Said Ahmed Mohamed

Riwaya ya ASALI CHUNGU na Said Ahmed Mohamed

Riwaya ya ASALI CHUNGU – Hii ni safari ya kufunzwa na  maisha, kujifunza kwa kuonja ladha mbalimbali. Ni safari ya watu wengi wajitokezao katika matengo mawili. Kwanza akina Bwana Zuberi, D.c. na Bi Amina mkewe- wenye vyeo, utukufu na mali, na pili, akina Dude, Semeni, Shaabani Supu, Pili, Baya na Biti Daudi wanaonuka ufukara. Wote hawa wamo katika safari moja; Safari ya ugunduzi ambamo wanasoma mengi bila kujua, mpaka mwisho… Continue reading

Tamthilia ya PANGO na Kyalo W. Wamitila

Tamthilia ya PANGO na Kyalo W. Wamitila

Tamthilia ya PANGO na Kyalo W. Wamitila

Tamthilia hii ni mchango mwingine mwafaka katika medani ya fasihi hasa uga wa drama. Kwa mara nyingine tena, Wamitila amedhihirisha ukereketwa wake katika kuikuza na kuitilia mbolea fasihi ya Kiswahili hapa Afrika Mashariki.

Pango ni tamthilia inayotufunulia na kujadili utata wa kisiasa, uchumi , uongozi na migongano ya wimbi la ukale na la usasa. Ni kichokozi na kichocheo cha fikra kwa wahakiki na wanafunzi vyuoni na katika shule za sekondari. Mwandishi ni mwelendi wa lugha na kunga za fani ya tamthilia. Continue reading

Kenyans’ View(s) on Binyavanga Wainaina’s revelation that He’s “gay”

Binyavanga Wainaina

Binyavanga Wainaina

In an article published in The CHRONIC, a South African website, titled; I am a homosexual mum. Binyavanga Wainaina writes a letter to his mother, revealing his long kept secret,

“Nobody, nobody, ever in my life has heard this. Never mum.”

Continue reading

An Enemy of the People By Henrik Ibsen

An Enemy of the people by Henrik Ibsen

An Enemy of the people by Henrik Ibsen

Henrik Ibsen was one of the world’s greatest dramatists. He was the leading figure of an artistic renaissance that took place in Norway at the end of the nineteenth century, a renaissance that also included the painter Edvard Munch. Ibsen lived from 1828 to 1906. He grew up in poverty, studied medicine for a while, then abandoned that to write plays. In 1858, he published his first play, The Vikings at Helgeland. That same year, he married Susannah Thoresen, the daughter of a pastor.

Ibsen obtained a scholarship to travel to Italy, where he wrote the plays that would establish his reputation, Brand and Peer Gynt. These were long, historical verse plays. He lived most of the rest of his life in Italy and Germany. Starting in 1869, he began to write prose plays. Some critics would say that at this point in his life, Ibsen abandoned poetry and took up realism. In 1877, he began what became a series of five plays in which he examines the moral faults of modern society. In order of appearance, the plays were The Pillars of Society, A Doll’s House, Ghosts, An Enemy of the People, and The Wild Duck. Continue reading

Tamthilia ya “Amri ya Wakati” na Said Ahmed Mohamed

Amri ya Wakati na Said Ahmed Mohamed

Amri ya Wakati na Said Ahmed Mohamed

Matonga hakubaliani na familia yake, marafiki zake na jamii nzima kuhusu nafasi wanayopewa vijana katika nchi yake.
Kiu ya Matonga inamsukuma kuvunja kanuni za utu na desturi za kimila ili apate fursa ya kwenda nchi za ng’ambo anakodhani atapata riziki. Lakini, wakati tu ndio utakaoamua.

Picha:

Continue reading