Haini na Adam Shafi

Haini na Adam Shafi

Haini na Adam Shafi

Hamza, kijana mwandishi wa habari, anakamatwa kwa kutuhumiwa kuwa haini, hasa kutokana na uhusiano wake wa karibu na Hamduni, ambaye amempiga risasi na kumwua Kigogo, kiongozi wa nchi.

Sehemu kubwa ya riwaya hii inasimuliwa gerezani ambako Hamza pamoja na wengine waliosombwa na kurundikwa huko, wanateswa, kuthakilishwa na kutendewa unyama wa kila namna.Haini ni riwaya inayochukua tukio la kihistoria la kuuawa kwa kiongozi mmoja wa Kiafrika mwaka 1972, na kulifanya kiini cha kuyachunguza matatizo ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ya nchi za Kiafrika baada ya uhuru, chini ya mifumo ya utawala inayojali tu maslahi ya wachache. Continue reading

Kisasi Hapana! – Ken Walibora

Kisasi Hapana! - Ken Walibora

Kisasi Hapana! – Ken Walibora

Kisasi Hapana! 8a ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za .msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma.

*Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: masimulizi rahisi kwa njia ya barua ya kirafiki, utambaji hadithi, hadithi ndani ya hadithi na usimulizi kwa nafsi ya kwanza umoja.

*kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, tashbihi, takriri, kejeli, chuku, tanakali za sauti, maswali ya balagha, taswira na picha za rangi zenye kusisimua.

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine – Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine - Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine – Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine ni mkusanyiko unaoleta pamoja mawazo, hisia na fikra za waandishi mahiri kuhusu jamii. Ni juhudi za kuakisi ukweli wa hali halisi ilivyo na kumchorea msomaji taswira kamili kuhusu madhila ya uongozi, njaa, dawa za kulevya na mahusiano ya kijamii; kwa ujumla yaliyodorora. Wakati huo huo, wanamzindua juu ya mabadiliko; kuu likiwa kupatikana kwa katiba mpya.

Waandishi basi hawakuzungumzia madhila tu ila wanapendekeza jinsi suluhu ya baadhi ya matatizo inavyoweza kupatikana. Tashtiti, maswali ya balagha na tashbihi zilizoshamiri katika nyingi za hadithi hizi zinadhihirisha uchungu, kero, dhiki na kiu ya waandishi; msukumo wa kutaka kuhusika na kujihusisha na kupatikana kwa jamii bora. Wanaamini haya ndio matamanio ya wasomaji na jamii kwa jumla.

Continue reading

Scarlet Song by Mariama Bâ

Scarlet Song by Mariama Bâ

Scarlet Song by Mariama Bâ

Mariama Bâ (April 17, 1929 – August 17, 1981) was a Senegalese author and feminist, who wrote in French. Born in Dakar, she was raised a Muslim, but at an early age came to criticise what she perceived as inequalities between the sexes resulting from African traditions. Raised by her traditional grandparents, she had to struggle even to gain an education, because they did not believe that girls should be taught. Bâ later married a Senegalese member of Parliament, Obèye Diop, but divorced him and was left to care for their nine children.

Her frustration with the fate of African women—as well as her ultimate acceptance of it—is expressed in her first novel, So Long a Letter. In it she depicts the sorrow and resignation of a woman who must share the mourning for her late husband with his second, younger wife. Abiola Irele called it “the most deeply felt presentation of the female condition in African fiction”. This short book was awarded the first Noma Prize for Publishing in Africa in 1980.[1] Continue reading

Sowing the Mustard Seed by Yoweri Kaguta Museveni

Sowing the Mustard Seed by Yoweri Kaguta Museveni

Sowing the Mustard Seed by Yoweri Kaguta Museveni

Sowing the Mustard Seed contains a graphic account of a turbulent period in Uganda and provides an insider’s account of the wasted years following Amin’s overthrow in 1979. When Uganda’s first general election in two decades was rigged in December 1980, Museveni launched a guerilla war to fight against Milton Obote’s Sectarian dictatorship.

The war of liberation started in February 1981 with only 27 guns, and the National Resistance Movement and Army eventually took power in January 1986 and began the arduous task of rebuilding a shattered nation. Continue reading

Hafla ya Uzinduzi wa Tamthilia ya ‘Mbaya Wetu’ – Ken Walibora

“Tunakualika rasmi kwa uzinduzi huu utakaongozwa na PLO. Lumumba na Ken Walibora. Zaidi, kutakuwa na mchezo wa kuigiza kuhusu kitabu.

 

Hafla ya Uzinduzi wa Tamthilia ya 'Mbaya Wetu' - Ken Walibora

Hafla ya Uzinduzi wa Tamthilia ya ‘Mbaya Wetu’ – Ken Walibora

 

Tamthilia ya ‘MBAYA WETU’ na Ken Walibora

Tamthilia ya 'MBAYA WETU' na Ken Walibora

Tamthilia ya ‘MBAYA WETU’ na Ken Walibora

“Kwa wale hawaja soma Mbaya Wetu, ni mwari mwenye sifa zake. Ni kazi inayotanguliza mkondo mwingine katika uandishi wa tamthilia ya Kiswahili. Kwa mara nyingine, mbinu ya mkono ya Ken Walibora imedhihirisha utamu na ukwasi uliomo katika Fasihi ya Kiswahili.”

Kenna Wasike

Continue reading

Tamthilia ya ‘AMEZIDI’ na Said A. Mohamed

Tamthilia ya 'AMEZIDI' na Said A. Mohamed

Tamthilia ya ‘AMEZIDI’ na Said A. Mohamed

Ame na Zidi wanajikuta katika umaskini mkubwa katika bahari iliyohaa mali. Katika hali hii ya uhitaji, wanatambua kuwa hawana jingine la kufanya ila kuomba msaada ili wayatosheleze mahitaji yao. Msaada unapokuja, unaleta unaleta madhara mengi zaidi.

Huu ni mchezo mawazoni unaotazama matatizo ya kijamii na ya kiuchumi katika nchi nyingi za kiafrika za hivi leo.

Mwandishi alizaliwa Unguja (Zanzibar) mwaka wa 1947. Alielimishwa huko huko Unguja na baadaye akajiunga na chuo kikuu cha Dar-es- Salaam, na kisha chuo kikuu cha Leipzig, Ujerumani. Amefundisha katika shule za upili na vyuo mbalimbali. Kabla ya ku7hamia Ujerumani, alikuwa Profesa katika Chuo kikuu cha masomo ya kigeni cha Osaka, Ujapani. Continue reading

Riwaya ya ASALI CHUNGU na Said Ahmed Mohamed

Riwaya ya ASALI CHUNGU na Said Ahmed Mohamed

Riwaya ya ASALI CHUNGU na Said Ahmed Mohamed

Riwaya ya ASALI CHUNGU – Hii ni safari ya kufunzwa na  maisha, kujifunza kwa kuonja ladha mbalimbali. Ni safari ya watu wengi wajitokezao katika matengo mawili. Kwanza akina Bwana Zuberi, D.c. na Bi Amina mkewe- wenye vyeo, utukufu na mali, na pili, akina Dude, Semeni, Shaabani Supu, Pili, Baya na Biti Daudi wanaonuka ufukara. Wote hawa wamo katika safari moja; Safari ya ugunduzi ambamo wanasoma mengi bila kujua, mpaka mwisho… Continue reading

Tamthilia ya PANGO na Kyalo W. Wamitila

Tamthilia ya PANGO na Kyalo W. Wamitila

Tamthilia ya PANGO na Kyalo W. Wamitila

Tamthilia hii ni mchango mwingine mwafaka katika medani ya fasihi hasa uga wa drama. Kwa mara nyingine tena, Wamitila amedhihirisha ukereketwa wake katika kuikuza na kuitilia mbolea fasihi ya Kiswahili hapa Afrika Mashariki.

Pango ni tamthilia inayotufunulia na kujadili utata wa kisiasa, uchumi , uongozi na migongano ya wimbi la ukale na la usasa. Ni kichokozi na kichocheo cha fikra kwa wahakiki na wanafunzi vyuoni na katika shule za sekondari. Mwandishi ni mwelendi wa lugha na kunga za fani ya tamthilia. Continue reading

Just Who is Simon Gikandi?

Just Who is Simon Gikandi

Just Who is Simon Gikandi

Mr. Simon Gikandi is a professor of English at Princeton University, he is one of World’s leading literary critics. He is best known for his co-editorship (with Abiola Irele) of The Cambridge History of African and Caribbean Literature; easily the most comprehensive survey of its subject. Continue reading

The Man in Green Dungarees by Ng’ang’a Mbugua

The Man in Green Dungarees by Ng’ang’a Mbugua

The Man in Green Dungarees

John Benjamin said gruffly, grabbing the lifeline that the man had offered him. “I have a business idea that might interest you.” The man’s curiosity was at once aroused.
“You have three minutes,” he said authoritatively.

John Benjamin is a man on a fast lane to self-destruction. His life takes an about-turn when he befriends and takes home a stray dog. The Man in Green Dungarees is a story of resilience, alcoholism and how society defines success. John Benjamin sees opportunities for success where others would have looked away.

Read more…

Chuma Nwokolo, JR – Diaries of a Dead African, 2003.

Diaries of a Dead African

Diaries of a Dead African

If you say “I Do Not Come to You by Chance by Adaobi Tricia Nwaubani” was the first novel that expounded on the 419 topic, that is because you have not yet read Diaries of a Dead African. Published six years before. An epistolary novel, a diary entry of a father and his two sons.

To start with, the first entry belongs to the father, Meme Jumai, a poverty-stricken farmer, so wretched that his wife abandoned him and left him with nothing. He barely had enough food to survive on until the next harvest. In his diary, he narrated how his every day survival was a contant struggle and how he gradually turned into a laughing stock of  his village. Firstly, because his wife left him and secondly, because starvation was ridiculously doing away with his life. In fact, it eventually hastened his death. Continue reading

Novelist Chinua Achebe Passes on; aged 82

Chinua Achebe

Chinua Achebe

Chinua Achebe, the Nigerian novelist seen by millions as the father of African literature, has died at the age of 82.

African papers were reporting his death following an illness and hospital stay in Boston this morning, and both his agent and his publisher later confirmed the news to the Guardian.

Simon Winder, publishing director at Penguin, called him an “utterly remarkable man”.

“Chinua Achebe is the greatest of African writers and we are all desolate to hear of his death,” he said.

Short Stories

Short Stories

In a statement, Achebe’s family requested privacy, and paid tribute to “one of the great literary voices of all time. He was also a beloved husband, father, uncle and grandfather, whose wisdom and courage are an inspiration to all who knew him.”

A novelist, poet and essayist, Achebe was perhaps best known for his first novel Things Fall Apart, which was published in 1958. The story of the Igbo warrior Okonkwo and the colonial era, it has sold more than 10m copies around the world and has been published in 50 languages. Achebe depicts an Igbo village as the white men arrive at the end of the 19th century, taking its title from the WB Yeats poem, which continues: “Things fall apart; the centre cannot hold.”
Continue reading