Dennis Shonko kwenye Gazeti la Taifa Leo

Haini na Adam Shafi

Haini na Adam Shafi

Haini na Adam Shafi

Hamza, kijana mwandishi wa habari, anakamatwa kwa kutuhumiwa kuwa haini, hasa kutokana na uhusiano wake wa karibu na Hamduni, ambaye amempiga risasi na kumwua Kigogo, kiongozi wa nchi.

Sehemu kubwa ya riwaya hii inasimuliwa gerezani ambako Hamza pamoja na wengine waliosombwa na kurundikwa huko, wanateswa, kuthakilishwa na kutendewa unyama wa kila namna.Haini ni riwaya inayochukua tukio la kihistoria la kuuawa kwa kiongozi mmoja wa Kiafrika mwaka 1972, na kulifanya kiini cha kuyachunguza matatizo ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ya nchi za Kiafrika baada ya uhuru, chini ya mifumo ya utawala inayojali tu maslahi ya wachache. Continue reading

Text Book Centre Jomo Kenyatta Prize for literature 2015, Winners

1) Adult English Category

BOOK: Dust
AUTHOR: Yvonne Adhiambo Owuor
PUBLISHER: Kwani Trust.

Dust

Dust

2) Adult Kiswahili Category

BOOK: Pendo la Karaha
AUTHOR: John Habwe
PUBLISHER: Moran Publishers (EA) Ltd.

Pendo la Karaha

Pendo la Karaha

Continue reading

NASIKIA SAUTI YA MAMA – Tawasifu ya Prof. Ken Walibora

Baada ya tamthilia yake ya pili [MBAYA WETU] kuingia madukani, Prof. Ken Walibora ‘kaibua kitabu kinachoeleza safari ya maisha yake ilovyouwa na inavyozidi kuwa kila jua linapochomoza.

Uketo wa Lugha

“Nasikia Sauti ya Mama” ina uketo wa lugha ya kiswahili inayodhihirisha ukwasi al’onao profesa Ken na mno, weledi wake wa kuyaeleza mengi kwa njia ya kusisimua hivyo kumnata msomaji.

………

Heko kwa wanalonghorn Publishers kwa kujitoma katika hili la tawasifu: NASIKIA SAUTI YA MAMA (Ken Walibora) na “MBALI NA NYUMBANI (Adam Shafi) ni tuzo bora kwetu sote!

NASIKIA SAUTI YA MAMA - Tawasifu ya Prof. Ken Walibora

NASIKIA SAUTI YA MAMA – Tawasifu ya Prof. Ken Walibora

Continue reading