Haini na Adam Shafi

Haini na Adam Shafi

Haini na Adam Shafi

Hamza, kijana mwandishi wa habari, anakamatwa kwa kutuhumiwa kuwa haini, hasa kutokana na uhusiano wake wa karibu na Hamduni, ambaye amempiga risasi na kumwua Kigogo, kiongozi wa nchi.

Sehemu kubwa ya riwaya hii inasimuliwa gerezani ambako Hamza pamoja na wengine waliosombwa na kurundikwa huko, wanateswa, kuthakilishwa na kutendewa unyama wa kila namna.Haini ni riwaya inayochukua tukio la kihistoria la kuuawa kwa kiongozi mmoja wa Kiafrika mwaka 1972, na kulifanya kiini cha kuyachunguza matatizo ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ya nchi za Kiafrika baada ya uhuru, chini ya mifumo ya utawala inayojali tu maslahi ya wachache. Continue reading

Dear friend… this is for you!

Dear friend… this is for you!

Dear friend… this is for you!

What really happened to the days when friendship was real and true? When friends once cared about one’s ongoing academically, morally, socially, physically… lly? The list is always endless. Is it me who changed? I have always asked myself and if my change was so radical and spontaneous, then why wasn’t I corrected? Why do we have to let this change drive a whole consequence to a wacky end?

Spare me the crap! If it is for the so called ‘relations’ the last time I checked you read a book of that caliber — self-confidence — but seems your style has changed from ‘Think Big’ to ‘300 Things a Girl Should Know About Boys.’ Continue reading

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine – Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine - Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine – Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine ni mkusanyiko unaoleta pamoja mawazo, hisia na fikra za waandishi mahiri kuhusu jamii. Ni juhudi za kuakisi ukweli wa hali halisi ilivyo na kumchorea msomaji taswira kamili kuhusu madhila ya uongozi, njaa, dawa za kulevya na mahusiano ya kijamii; kwa ujumla yaliyodorora. Wakati huo huo, wanamzindua juu ya mabadiliko; kuu likiwa kupatikana kwa katiba mpya.

Waandishi basi hawakuzungumzia madhila tu ila wanapendekeza jinsi suluhu ya baadhi ya matatizo inavyoweza kupatikana. Tashtiti, maswali ya balagha na tashbihi zilizoshamiri katika nyingi za hadithi hizi zinadhihirisha uchungu, kero, dhiki na kiu ya waandishi; msukumo wa kutaka kuhusika na kujihusisha na kupatikana kwa jamii bora. Wanaamini haya ndio matamanio ya wasomaji na jamii kwa jumla.

Continue reading

Tamthilia ya PANGO na Kyalo W. Wamitila

Tamthilia ya PANGO na Kyalo W. Wamitila

Tamthilia ya PANGO na Kyalo W. Wamitila

Tamthilia hii ni mchango mwingine mwafaka katika medani ya fasihi hasa uga wa drama. Kwa mara nyingine tena, Wamitila amedhihirisha ukereketwa wake katika kuikuza na kuitilia mbolea fasihi ya Kiswahili hapa Afrika Mashariki.

Pango ni tamthilia inayotufunulia na kujadili utata wa kisiasa, uchumi , uongozi na migongano ya wimbi la ukale na la usasa. Ni kichokozi na kichocheo cha fikra kwa wahakiki na wanafunzi vyuoni na katika shule za sekondari. Mwandishi ni mwelendi wa lugha na kunga za fani ya tamthilia. Continue reading

“The Reunion” By Leonard Njenga Kibera

“The Reunion” By Leonard Njenga Kibera

 The Reunion is about Paul, a boy brought up by a single mother whose memory of her estranged husband is very bitter.

To confound the matter, Paul and his mother live in a slum where the author deftly uses the anagram Mururu for Mukuru slum.

Their house is neatly placed between an ageing acacia tree and a mould of earth. It was said to have housed a water pump for the city’s water supply decades ago but was abandoned.

The small 10X10 with two of the walls made of cardboard was their abode. The iron sheets were rotting and leaked in several places.

A tiny cardboard room at the back served as the bathroom and a latrine.

Here, Continue reading

Best Authors From Kenya.

I somehow Agree and at the same time, disagree with this list, but all in all, they are our Kenya Authors and we ought to be proud of them?

Wahome Mutahi

Wahome Mutahi

Wahome Mutahi

The father of satire and humour in Kenya was for years the most popular columnist in East Africa. Behind the mirth, however,  was one of the most vicious critics of government who penned award-winning novels like Jail Bugs and Three Days on the Cross.

Binyavanga Wainaina

The Caine Prize for African Writing award winner is credited for introducing a new genre in the country by founding Kwani? which rebels against the established literary tradition.

Selected in 2005 as the 73rd topmost intellectual person in the world by Prospect Magazine (UK) and Foreign Policy (US), he first rose to prominence as a critic of some of the accepted orthodoxies of African intellectuals in the 1960s and 1970s. The Trial of Christopher Okigbo was critical of African socialism and all strains of Marxism. His television series, The Africans: A Triple Heritage, established his polemic style of writing where he uses parallels and contrasts.

Simon Gikandi

A professor of English at Princeton University, he is one of World’s leading literary critics. He is best known for his co-editorship (with Abiola Irele) of The Cambridge History of African and Caribbean Literature; easily the most comprehensive survey of its subject. Continue reading