Yapo makamusi na kamusi ambazo hazikomi kuchapishwa kila uchao; Hili ni
jambo la kupendeza na la kufurahikia maana’ke, inaashiria kesho njema
yenye utajiri wa mengi katika lugha ya Kiswahili.
KAMUSI TEULE ya Kiswahili – Kilele cha Lugha
“Ni zao la utafiti wa kina uliofanywa na waandishi na wanaleksikogrofia
wenye tajriba kubwa. Continue reading