Dennis Shonko kwenye Gazeti la Taifa Leo

Dear friend… this is for you!

Dear friend… this is for you!

Dear friend… this is for you!

What really happened to the days when friendship was real and true? When friends once cared about one’s ongoing academically, morally, socially, physically… lly? The list is always endless. Is it me who changed? I have always asked myself and if my change was so radical and spontaneous, then why wasn’t I corrected? Why do we have to let this change drive a whole consequence to a wacky end?

Spare me the crap! If it is for the so called ‘relations’ the last time I checked you read a book of that caliber — self-confidence — but seems your style has changed from ‘Think Big’ to ‘300 Things a Girl Should Know About Boys.’ Continue reading

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine – Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine - Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine – Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine ni mkusanyiko unaoleta pamoja mawazo, hisia na fikra za waandishi mahiri kuhusu jamii. Ni juhudi za kuakisi ukweli wa hali halisi ilivyo na kumchorea msomaji taswira kamili kuhusu madhila ya uongozi, njaa, dawa za kulevya na mahusiano ya kijamii; kwa ujumla yaliyodorora. Wakati huo huo, wanamzindua juu ya mabadiliko; kuu likiwa kupatikana kwa katiba mpya.

Waandishi basi hawakuzungumzia madhila tu ila wanapendekeza jinsi suluhu ya baadhi ya matatizo inavyoweza kupatikana. Tashtiti, maswali ya balagha na tashbihi zilizoshamiri katika nyingi za hadithi hizi zinadhihirisha uchungu, kero, dhiki na kiu ya waandishi; msukumo wa kutaka kuhusika na kujihusisha na kupatikana kwa jamii bora. Wanaamini haya ndio matamanio ya wasomaji na jamii kwa jumla.

Continue reading

“The Politics of Betrayal in Kenya” by Joe Khamisi

– Former MP Joe Khamisi has authored a thought-provoking book entitled, The Politics of Betrayal in Kenya, aimed at‘exposing the rot in the Kenya political system’. The book illustrates how the electorate has been betrayed their political ‘leaders’.

It mainly centres on the politically shaky period between 2001 and 2008 and particularly on president Kibaki’s first term in office (when the author was himself a member of parliament). It also delves into historical happenings like President Moi’s rule (1978-2002) mentions instances of gov’t repression and grand corruption. Continue reading

Hafla ya Uzinduzi wa Tamthilia ya ‘Mbaya Wetu’ – Ken Walibora

“Tunakualika rasmi kwa uzinduzi huu utakaongozwa na PLO. Lumumba na Ken Walibora. Zaidi, kutakuwa na mchezo wa kuigiza kuhusu kitabu.

 

Hafla ya Uzinduzi wa Tamthilia ya 'Mbaya Wetu' - Ken Walibora

Hafla ya Uzinduzi wa Tamthilia ya ‘Mbaya Wetu’ – Ken Walibora

 

KOPO LA MWISHO NA HADITHI NYINGINE –OMAR BABU (Mhariri)

KOPO LA MWISHO NA HADITHI NYINGINE –OMAR BABU (Mhariri)

KOPO LA MWISHO NA HADITHI NYINGINE –OMAR BABU (Mhariri)

Kopo la mwisho na hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi ambazo zimepigwa msasa tena kwa makini naye Omar Babu [Abu Marjan] ambaye ni mshairi na mwandishi wa riwaya na hadithi fupi.

Ni diwani inayoshughulikia maudhui tofautitofauti; Ukabila, siasa. Elimu, mapenzi n.k  … “Ni hadithi zinazoandama mtindo sahili na zinazoashiria masuala yanayomkabili binadamu.”

Kopo la mwisho na hadithi nyingine

Continue reading

Tamthilia ya ‘MBAYA WETU’ na Ken Walibora

Tamthilia ya 'MBAYA WETU' na Ken Walibora

Tamthilia ya ‘MBAYA WETU’ na Ken Walibora

“Kwa wale hawaja soma Mbaya Wetu, ni mwari mwenye sifa zake. Ni kazi inayotanguliza mkondo mwingine katika uandishi wa tamthilia ya Kiswahili. Kwa mara nyingine, mbinu ya mkono ya Ken Walibora imedhihirisha utamu na ukwasi uliomo katika Fasihi ya Kiswahili.”

Kenna Wasike

Continue reading

The Green Cross of Kafira By Francis D. Imbuga

 The Green Cross of Kafira By Francis D. Imbuga

The Green Cross of Kafira By Francis D. Imbuga

The Green Cross of Kafira, published posthumously by Bookmark Africa, is the last in a trilogy of Kafira plays that started with Betrayal in the City (1975), followed by Man of Kafira, first staged in 1979.

When the play opens, they are on a spying mission that is supposed to be so covert, it must be carried out in the absence of their personal assistants, drivers and even bodyguards. Continue reading

DEN OF INEQUITIES – KINYANJUI KOMBANI DOES IT AGAIN

DEN OF INIQUITIES - KINYANJUI KOMBANI DOES IT AGAIN

DEN OF INIQUITIES – KINYANJUI KOMBANI DOES IT AGAIN

Kinyanjui Kombani, “the writer of the critically acclaimed” Novel ‘The Last Villains of Molo’ comes “DEN OF INIQUITIES

Published by Longhorn Publishers, Continue reading

Tamthilia ya ‘AMEZIDI’ na Said A. Mohamed

Tamthilia ya 'AMEZIDI' na Said A. Mohamed

Tamthilia ya ‘AMEZIDI’ na Said A. Mohamed

Ame na Zidi wanajikuta katika umaskini mkubwa katika bahari iliyohaa mali. Katika hali hii ya uhitaji, wanatambua kuwa hawana jingine la kufanya ila kuomba msaada ili wayatosheleze mahitaji yao. Msaada unapokuja, unaleta unaleta madhara mengi zaidi.

Huu ni mchezo mawazoni unaotazama matatizo ya kijamii na ya kiuchumi katika nchi nyingi za kiafrika za hivi leo.

Mwandishi alizaliwa Unguja (Zanzibar) mwaka wa 1947. Alielimishwa huko huko Unguja na baadaye akajiunga na chuo kikuu cha Dar-es- Salaam, na kisha chuo kikuu cha Leipzig, Ujerumani. Amefundisha katika shule za upili na vyuo mbalimbali. Kabla ya ku7hamia Ujerumani, alikuwa Profesa katika Chuo kikuu cha masomo ya kigeni cha Osaka, Ujapani. Continue reading

Riwaya ya ASALI CHUNGU na Said Ahmed Mohamed

Riwaya ya ASALI CHUNGU na Said Ahmed Mohamed

Riwaya ya ASALI CHUNGU na Said Ahmed Mohamed

Riwaya ya ASALI CHUNGU – Hii ni safari ya kufunzwa na  maisha, kujifunza kwa kuonja ladha mbalimbali. Ni safari ya watu wengi wajitokezao katika matengo mawili. Kwanza akina Bwana Zuberi, D.c. na Bi Amina mkewe- wenye vyeo, utukufu na mali, na pili, akina Dude, Semeni, Shaabani Supu, Pili, Baya na Biti Daudi wanaonuka ufukara. Wote hawa wamo katika safari moja; Safari ya ugunduzi ambamo wanasoma mengi bila kujua, mpaka mwisho… Continue reading

Shreds of Tenderness By John Ruganda

Shreds of Tenderness By John Ruganda

Shreds of Tenderness By John Ruganda

Shreds of Tenderness is a heart-rending, masterfully crafted play which is replete with shocking revelations and reversals.

Not Long ago, a tyrant took over the reins of Government and unleashed terror throughout the Motherland. Wak fled. Continue reading

An Enemy of the People By Henrik Ibsen

An Enemy of the people by Henrik Ibsen

An Enemy of the people by Henrik Ibsen

Henrik Ibsen was one of the world’s greatest dramatists. He was the leading figure of an artistic renaissance that took place in Norway at the end of the nineteenth century, a renaissance that also included the painter Edvard Munch. Ibsen lived from 1828 to 1906. He grew up in poverty, studied medicine for a while, then abandoned that to write plays. In 1858, he published his first play, The Vikings at Helgeland. That same year, he married Susannah Thoresen, the daughter of a pastor.

Ibsen obtained a scholarship to travel to Italy, where he wrote the plays that would establish his reputation, Brand and Peer Gynt. These were long, historical verse plays. He lived most of the rest of his life in Italy and Germany. Starting in 1869, he began to write prose plays. Some critics would say that at this point in his life, Ibsen abandoned poetry and took up realism. In 1877, he began what became a series of five plays in which he examines the moral faults of modern society. In order of appearance, the plays were The Pillars of Society, A Doll’s House, Ghosts, An Enemy of the People, and The Wild Duck. Continue reading

Tamthilia ya “Amri ya Wakati” na Said Ahmed Mohamed

Amri ya Wakati na Said Ahmed Mohamed

Amri ya Wakati na Said Ahmed Mohamed

Matonga hakubaliani na familia yake, marafiki zake na jamii nzima kuhusu nafasi wanayopewa vijana katika nchi yake.
Kiu ya Matonga inamsukuma kuvunja kanuni za utu na desturi za kimila ili apate fursa ya kwenda nchi za ng’ambo anakodhani atapata riziki. Lakini, wakati tu ndio utakaoamua.

Picha:

Continue reading

“Mhanga Nafsi Yangu” Riwaya Mpya yake Said A. Mohamed

Licha ya Kustaafu kwake, Profesa Said Ahmed Mohamed anazidi kutupambia lugha hii yetu tukufu ya kiswahili – Tayari, ametupa Riwaya mpya “Mhanga Nafsi Yangu” ambayo kwa hakika, ina uketo wa lugha na maudhui ambayo kwa kweli yanadhihirisha hali halisi ya maisha ya binadamu. Uwapo na shilingi zako 406.00 za Kenya, utafuzu kujipa nakala yako.

Said Ahmed Mohamed

Riwaya ya Mhanga Nafsi Yangu

Continue reading

Meja Mwangi – Do you Know Him?

Meja Mwangi, Do you Know Him?

Meja Mwangi, Do you Know Him?

Meja Mwangi is a Kenyan writer who began his writing career in the 1970s, a decade after compatriots Ngugi wa Thiong’o and Grace Ogot had already published. Born in Nanyuki, Kenya, in 1948, Mwangi initially made a huge impact on the literary world with his first novel, Kill Me Quick which was published in 1973 and received the Jomo Kenyatta Prize for literature in 1974.

Mwangi was hailed in various quarters as a rising star in the East African literary constellation for helping to disprove Taban lo Liyong’s oft-cited claim that East Africa was a literary desert.

Since then, Meja Mwangi has gone on to establish himself as one of the most prolific Kenyan writers, publishing eleven novels in 17 years in addition to short stories, children’s books and working with a variety of projects in film. Mwangi’s works have received awards in Kenya and abroad, have been translated into six languages, and there are film versions of two of his novels.

While Mwangi has touched on all of these concerns, we might divide his work into three major categories. The first comprises his Mau Mau novels. For many Kenyan writers, the armed resistance to British colonialism, which came to be known as the Mau Mau revolt and reached its height in the 1950s, was a far-reaching experience.

Although “Carcase for Hounds” was Mwangi’s first novel, it was his second to be published, as well as the second to be filmed. The book has much in common with Mwangi’s other Mau Mau novel, Taste of Death. Both feature the typical Mwangian style of fast-paced action and snappy dialogue. Continue reading