Kisasi Hapana! – Ken Walibora

Kisasi Hapana! - Ken Walibora

Kisasi Hapana! – Ken Walibora

Kisasi Hapana! 8a ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za .msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma.

*Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: masimulizi rahisi kwa njia ya barua ya kirafiki, utambaji hadithi, hadithi ndani ya hadithi na usimulizi kwa nafsi ya kwanza umoja.

*kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, tashbihi, takriri, kejeli, chuku, tanakali za sauti, maswali ya balagha, taswira na picha za rangi zenye kusisimua.

Hafla ya Uzinduzi wa Tamthilia ya ‘Mbaya Wetu’ – Ken Walibora

“Tunakualika rasmi kwa uzinduzi huu utakaongozwa na PLO. Lumumba na Ken Walibora. Zaidi, kutakuwa na mchezo wa kuigiza kuhusu kitabu.

 

Hafla ya Uzinduzi wa Tamthilia ya 'Mbaya Wetu' - Ken Walibora

Hafla ya Uzinduzi wa Tamthilia ya ‘Mbaya Wetu’ – Ken Walibora

 

Tamthilia ya ‘MBAYA WETU’ na Ken Walibora

Tamthilia ya 'MBAYA WETU' na Ken Walibora

Tamthilia ya ‘MBAYA WETU’ na Ken Walibora

“Kwa wale hawaja soma Mbaya Wetu, ni mwari mwenye sifa zake. Ni kazi inayotanguliza mkondo mwingine katika uandishi wa tamthilia ya Kiswahili. Kwa mara nyingine, mbinu ya mkono ya Ken Walibora imedhihirisha utamu na ukwasi uliomo katika Fasihi ya Kiswahili.”

Kenna Wasike

Continue reading

Ken Walibora’s Swahili Novel – KUFA KUZIKANA.

Ken Walibora's Swahili Novel -  KUFA KUZIKANA.

Ken Walibora’s Swahili Novel – KUFA KUZIKANA.

“A gripping Swahili novel, full of suspense. This novel is a satire of the evils of tribalism bedeviling Africa, especially so Rwanda. Ken Walibora writes with a Swahili language that is equally educative. Kitabu kizuri.”

kufa kuzikana

Ni hadithi ya urafiki kati ya vijana wawili, Akida na Tim, wanaotoka
kwenye makabila yenye uadui.

Ni hadithi ya migogoro, migongano, vikwazo na vizingiti katika uhusiano
wao.

Je, urafiki wao huo unaweza kuvistahimili vishindo hivyo?
Je, ni urafiki wa kinafiki au una nguvu ambazo havishindiki?

Inasimulia masuala nyeti kama vile ukabila na utamaduni, maadili na
mapenzi, usawa wa kijinsia na uhuru wa mtu binafsi, kwa uwazi na uchesi
wa kupigiwa mfano.

Sales price without tax: Ksh: 460.00
Tax amount: Ksh: 73.60
Sales price: Ksh: 533.60
Publishers: Longhorn Publishers
ISBN: 9966 49 754 4 Continue reading

Riwaya ya Kidagaa Kimemwozea na Ken Walibora

Kidagaa Kimemwozea

Riwaya ya Kidagaa Kimemwozea na Ken Walibora

Riwaya ya Kidagaa Kimemwozea

”. . . kilikuwa kitabu chenye jalada jeusi iliyorembwa kwa picha ya mwanamwali mmoja mzuri aliyekuwa akidondoka machozi.. . riwaya hii ni ya aina yake,inathibitisha kwa usanii wa kupigiwa mfano jinsi ndoto ya uhuru barani Afrika imegeuka kuwa jinamizi.jinamizi inayowafanya wazalendo kulia, ‘kidagaa kimetuozea‘kwa kutamaushwa na usaliti wa viongozi wa baada ya uhuru. . . “

hapa twafahamu kuwa kidagaa kilichooza kiliwaozea wananchi wanyonge haswa,kwa kupitia wahusika kama vile AMANI,IMANI,UHURU WEYE DJ NK….

The Story

The story is told using a journey motif of two characters, Imani and Amani. The two leave their homes and set out for Sokomoko town to look for jobs so as to earn a decent living.

However, during their journey, they come across River Kiberenge whose water is avoided by the natives of that region like a plague because they associate it with death. Amani and Imani defy all the odds and decide to partake of the water.

River Kiberenge provides the author with another kernel to continue narrating the story. Using this kernel, the reader learns that it is only those who drink from the river that are able to pursue the liberation struggle.

This comes to pass because, once in Sokomoko Imani and Amani get menial jobs where they work for two brothers – Nasaba Bora and Majisifu who are both oppressors. Continue reading

Said Ahmed (A) Mohamed – The Next Swahili Literature Hero!

Damu Nyeusi - Said A. MOhamed

Damu Nyeusi – Said A. MOhamed

I was watching a William Shakespeare TV documentary with a couple of secondary school students, recently. In the middle of the programme one asked if I had read Hamlet. I said, I had. Romeo and Juliet? Yes. Julius Caesar? Sure.
“Where did you read them?”
I said at Ilboru secondary school in the highlands of Arusha, Tanzania. I also acted in a Caesar play; I was Cassius and saw “Romeo and Juliet” film at the British Council in Dar es Salaam.Yes. William Shakespeare is known in Africa, I explained.
The youths thought Shakespeare is an archaic thing only forced unto them (to waste time) whereas the writing legend has been utilized for ages across the planet to learn English. Shakespeare is the second mostly quoted English writer after the Bible while his plays the most used in cinema. And what significance for the British? It means glory for the English language plus financial gains.
Swahili prolific author and lecturer, Prof Said Ahmed Mohammed Khamis

Swahili prolific author and lecturer, Prof Said Ahmed Mohammed Khami

And if you are in East Africa where Kiswahili poetry has been injected with some of the finest writers in Bongo Flava, you have to remember that guys like Professor Jay (aka Joseph Haule) are a continuous segment from Mr Two, past 1960’s Swahili poet Mathias Mnyampala through Shaaban Robert to  Fumo Lyongo’s classic poetry of the 12th century.
When Professor Jay recorded “Ndiyo Mzee” ridiculing politicians bubbling fake promises to win votes, the President himself acknowledged the tune highlighting   political hypocrisy. Likewise Morogoro musician  Salum Abdullah wrote songs to inspire the struggles of TANU and Mwalimu Nyerere in the 1950’s.
The profound importance of literature cannot be underestimated in any society.