Haini na Adam Shafi

Haini na Adam Shafi

Haini na Adam Shafi

Hamza, kijana mwandishi wa habari, anakamatwa kwa kutuhumiwa kuwa haini, hasa kutokana na uhusiano wake wa karibu na Hamduni, ambaye amempiga risasi na kumwua Kigogo, kiongozi wa nchi.

Sehemu kubwa ya riwaya hii inasimuliwa gerezani ambako Hamza pamoja na wengine waliosombwa na kurundikwa huko, wanateswa, kuthakilishwa na kutendewa unyama wa kila namna.Haini ni riwaya inayochukua tukio la kihistoria la kuuawa kwa kiongozi mmoja wa Kiafrika mwaka 1972, na kulifanya kiini cha kuyachunguza matatizo ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ya nchi za Kiafrika baada ya uhuru, chini ya mifumo ya utawala inayojali tu maslahi ya wachache. Continue reading

Dear friend… this is for you!

Dear friend… this is for you!

Dear friend… this is for you!

What really happened to the days when friendship was real and true? When friends once cared about one’s ongoing academically, morally, socially, physically… lly? The list is always endless. Is it me who changed? I have always asked myself and if my change was so radical and spontaneous, then why wasn’t I corrected? Why do we have to let this change drive a whole consequence to a wacky end?

Spare me the crap! If it is for the so called ‘relations’ the last time I checked you read a book of that caliber — self-confidence — but seems your style has changed from ‘Think Big’ to ‘300 Things a Girl Should Know About Boys.’ Continue reading

NASIKIA SAUTI YA MAMA – Tawasifu ya Prof. Ken Walibora

Baada ya tamthilia yake ya pili [MBAYA WETU] kuingia madukani, Prof. Ken Walibora ‘kaibua kitabu kinachoeleza safari ya maisha yake ilovyouwa na inavyozidi kuwa kila jua linapochomoza.

Uketo wa Lugha

“Nasikia Sauti ya Mama” ina uketo wa lugha ya kiswahili inayodhihirisha ukwasi al’onao profesa Ken na mno, weledi wake wa kuyaeleza mengi kwa njia ya kusisimua hivyo kumnata msomaji.

………

Heko kwa wanalonghorn Publishers kwa kujitoma katika hili la tawasifu: NASIKIA SAUTI YA MAMA (Ken Walibora) na “MBALI NA NYUMBANI (Adam Shafi) ni tuzo bora kwetu sote!

NASIKIA SAUTI YA MAMA - Tawasifu ya Prof. Ken Walibora

NASIKIA SAUTI YA MAMA – Tawasifu ya Prof. Ken Walibora

Continue reading

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine – Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine - Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine – Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine ni mkusanyiko unaoleta pamoja mawazo, hisia na fikra za waandishi mahiri kuhusu jamii. Ni juhudi za kuakisi ukweli wa hali halisi ilivyo na kumchorea msomaji taswira kamili kuhusu madhila ya uongozi, njaa, dawa za kulevya na mahusiano ya kijamii; kwa ujumla yaliyodorora. Wakati huo huo, wanamzindua juu ya mabadiliko; kuu likiwa kupatikana kwa katiba mpya.

Waandishi basi hawakuzungumzia madhila tu ila wanapendekeza jinsi suluhu ya baadhi ya matatizo inavyoweza kupatikana. Tashtiti, maswali ya balagha na tashbihi zilizoshamiri katika nyingi za hadithi hizi zinadhihirisha uchungu, kero, dhiki na kiu ya waandishi; msukumo wa kutaka kuhusika na kujihusisha na kupatikana kwa jamii bora. Wanaamini haya ndio matamanio ya wasomaji na jamii kwa jumla.

Continue reading

Scarlet Song by Mariama Bâ

Scarlet Song by Mariama Bâ

Scarlet Song by Mariama Bâ

Mariama Bâ (April 17, 1929 – August 17, 1981) was a Senegalese author and feminist, who wrote in French. Born in Dakar, she was raised a Muslim, but at an early age came to criticise what she perceived as inequalities between the sexes resulting from African traditions. Raised by her traditional grandparents, she had to struggle even to gain an education, because they did not believe that girls should be taught. Bâ later married a Senegalese member of Parliament, Obèye Diop, but divorced him and was left to care for their nine children.

Her frustration with the fate of African women—as well as her ultimate acceptance of it—is expressed in her first novel, So Long a Letter. In it she depicts the sorrow and resignation of a woman who must share the mourning for her late husband with his second, younger wife. Abiola Irele called it “the most deeply felt presentation of the female condition in African fiction”. This short book was awarded the first Noma Prize for Publishing in Africa in 1980.[1] Continue reading

DEN OF INEQUITIES – KINYANJUI KOMBANI DOES IT AGAIN

DEN OF INIQUITIES - KINYANJUI KOMBANI DOES IT AGAIN

DEN OF INIQUITIES – KINYANJUI KOMBANI DOES IT AGAIN

Kinyanjui Kombani, “the writer of the critically acclaimed” Novel ‘The Last Villains of Molo’ comes “DEN OF INIQUITIES

Published by Longhorn Publishers, Continue reading

KAMUSI TEULE ya Kiswahili – Kilele cha Lugha; East African Publishers Ltd.

KAMUSI TEULE ya Kiswahili - Kilele cha Lugha; East African Publishers   Ltd.

KAMUSI TEULE ya Kiswahili – Kilele cha Lugha; East African Publishers Ltd.

Yapo makamusi na kamusi ambazo hazikomi kuchapishwa kila uchao; Hili ni
jambo la kupendeza na la kufurahikia maana’ke, inaashiria kesho njema
yenye utajiri wa mengi katika lugha ya Kiswahili.

KAMUSI TEULE ya Kiswahili – Kilele cha Lugha

“Ni zao la utafiti wa kina uliofanywa na waandishi na wanaleksikogrofia
wenye tajriba kubwa. Continue reading

Tamthilia ya ‘AMEZIDI’ na Said A. Mohamed

Tamthilia ya 'AMEZIDI' na Said A. Mohamed

Tamthilia ya ‘AMEZIDI’ na Said A. Mohamed

Ame na Zidi wanajikuta katika umaskini mkubwa katika bahari iliyohaa mali. Katika hali hii ya uhitaji, wanatambua kuwa hawana jingine la kufanya ila kuomba msaada ili wayatosheleze mahitaji yao. Msaada unapokuja, unaleta unaleta madhara mengi zaidi.

Huu ni mchezo mawazoni unaotazama matatizo ya kijamii na ya kiuchumi katika nchi nyingi za kiafrika za hivi leo.

Mwandishi alizaliwa Unguja (Zanzibar) mwaka wa 1947. Alielimishwa huko huko Unguja na baadaye akajiunga na chuo kikuu cha Dar-es- Salaam, na kisha chuo kikuu cha Leipzig, Ujerumani. Amefundisha katika shule za upili na vyuo mbalimbali. Kabla ya ku7hamia Ujerumani, alikuwa Profesa katika Chuo kikuu cha masomo ya kigeni cha Osaka, Ujapani. Continue reading

Shreds of Tenderness By John Ruganda

Shreds of Tenderness By John Ruganda

Shreds of Tenderness By John Ruganda

Shreds of Tenderness is a heart-rending, masterfully crafted play which is replete with shocking revelations and reversals.

Not Long ago, a tyrant took over the reins of Government and unleashed terror throughout the Motherland. Wak fled. Continue reading

Just Who is Wahome Mutahi “Whispers” – A Drink with a Conman

Wahome Mutahi

Wahome Mutahi

The father of satire and humour in Kenya was for years the most popular columnist in East Africa. Behind the mirth, however,  was one of the most vicious critics of government who penned award-winning novels like Jail Bugs and Three Days on the Cross.

A DRINK WITH A CONMAN

Over a week ago, a dear friend of ours, a man full of theatre in his blood, spoke and said: “I am taking a nap. It might be a long nap but anyway, I will dream about you.” That man took the nap and never woke up., and we from it. After that we had nothing else to do but to return him to the soil.

So last weekend we went to Siaya to return the Son of Siaya to the soil. The Son of Siaya and the Son of Kenya was Lenin Ogolla. and, As you read this, the man is probably having a long chat with Jaramogi Odinga or being shown around by Tom Mboya in the other world. He is most likely getting orientation on how things run in the other world from Tom Mboya. Lenin, may you give that other place as much theatre as you gave us down here on earth. Continue reading