MWONGOZO WA MAUDHUI KATIKA TUNGO ZA MUYAKA BIN-HAJI.

Utangulizi. Muyaka bin Haji ni kiumbe wa kihistoria na msanii mkongwe katika historia ya usanii, miongoni mwa wasanii wa kabla ya karne ya ishirini. Muyaka alizaliwa mjini Mvita katika ukoo wa Myinyi Malindi, miongoni mwa koo kumi na mbili za Waswahili, na aliishi kati ya 1776-1840. Kitabaka,Muyaka alikuwa mtu wa wastani. Katika uhai wake, Muyaka […]

MWONGOZO WA MAUDHUI KATIKA TUNGO ZA MUYAKA BIN-HAJI.

Leave a comment