KITABU KIPYA CHA GWIJI WA FASIHI YA KISWAHILI- ADAM SHAFI KIMETOKA

Katika uchambuzi wa kitabu hicho, mwandishi hodari wa Kenya, Profesa Ken Walibora, anasema mtindo wake wa kuangalia tawasifu- ambapo mwandishi au mhusika anaelezea maisha yake haujaenea sana katika maandishi ya Kiswahili seuze ya Kiafrika. HIvyo anasema Walibora, ni jambo zuri la sisi wengine pia kulifanya.

kitoto

MbalinaNyumbani-jalada SHAFI
Juma hili habari kwamba kitabu kipya cha mwandishi nguli, Adam Shafi (Kasr ya Mwinyi Fuad,Kuli, Vuta Nkuvute na Haini) kimetoka ni za kushangilia sana. “Mbali na Nyumbani” inaangalia maisha yake msanii huyu Ughaibuni takribani miaka 50 iliyopita…Kimetolewa na Longhorn Publishers wenye makao yao Nairobi Kenya na matawi mbalimbali Dar es Salaam, Kampala na Rwanda.
Mara ya mwisho nilipomhoji Mzee Shafi, Desemba 2007 alikuwa bado anakiandika kitabu hicho ambacho alisema kitaelezea maisha yake ya ujanani.
shafi na MJUKUU LOWELL
Shafi akiwa na mjukuu wake Lowell, mjini Milton Keynes, Uingereza. Picha na F Macha

Katika uchambuzi wa kitabu hicho, mwandishi hodari wa Kenya, Profesa Ken Walibora, anasema mtindo wake wa kuangalia tawasifu- ambapo mwandishi au mhusika anaelezea maisha yake haujaenea sana katika maandishi ya Kiswahili seuze ya Kiafrika. HIvyo anasema Walibora, ni jambo zuri la sisi wengine pia kulifanya.
Mbali na kutukuza kitabu hiki, Profesa Walibora anachangamkia namna maandishi na lugha ya Kiswahili inavyoendelea kukua duniani…

View original post 119 more words

NILIPOKUNYWA CHAI NA MWANAHARAKATI WA KISWAHILI-ABDILATIF ABDALLA

“Leo ina tafauti, si sawa sawa na jana
Leo ndiyo ithibati, ya kuijuwa bayana
Ndiyo roho ya hayati, mfano wake haina
Leo itungeni sana.”

kitoto

Abdilatif Abdallah and Sauti ya Dhiki, London 2013-pic by F Macha
Angali kijana wa miaka 19, Abdilatif Abdalla alishiriki “harakati za kisirisiri” kupinga uongozi wa Rais Jomo Kenyatta, Kenya. Uongozi huo anaeleza leo, ulimnyima uhuru raia wa kawaida nchini humo (baada ya miaka mitatu tu ya utawala) uliopatikana Desemba 1963. Abdilatif alikuwa mwanachama wa chama cha upinzani, Kenya Peoples Union (KPU) kilichoongozwa na Jaramogi Oginga Odinga. Mchango wake mkuu ulikuwa kuandika. Alipofikisha makala ya saba iliyouliza “Kenya Twendapi?” alifungwa.

View original post 973 more words

“The Politics of Betrayal in Kenya” by Joe Khamisi

– Former MP Joe Khamisi has authored a thought-provoking book entitled, The Politics of Betrayal in Kenya, aimed at‘exposing the rot in the Kenya political system’. The book illustrates how the electorate has been betrayed their political ‘leaders’.

It mainly centres on the politically shaky period between 2001 and 2008 and particularly on president Kibaki’s first term in office (when the author was himself a member of parliament). It also delves into historical happenings like President Moi’s rule (1978-2002) mentions instances of gov’t repression and grand corruption. Continue reading

More About Sheikh Shaaban Bin Robert ‘Shaaban Robert’

More About Sheikh Shaaban Bin Robert ‘Shaaban Robert’

More About Sheikh Shaaban Bin Robert ‘Shaaban Robert’

Sheikh Shaaban Bin Robert (often abbreviated as ‘Shaaban Robert’) had humble beginnings – he was an unasumming primary school dropout with a gift for storytelling.

He wrote prose, poetry and essays and employed a very wide range of literary devices, including allegory and personification. He wasn’t merely a storyteller – he was more of a teacher and socio-political commentator, using literature as a tool.

He tackled such themes as justice, law, love, peace, brotherhood and the human condition. His many and varied works made a big contribution to Swahili literature and culture. Continue reading