Tanzanian Abdulrazak Gurnah wins 2021 Nobel Prize in literature

Born in Zanzibar and based in England, Gurnah is a professor at the University of Kent.

He has published 10 novels and a number of short stories. He is best known for his 1994 novel “Paradise”, set in colonial East Africa during World War I, which was shortlisted for the Booker Prize for Fiction.

Continue reading

@DennisShonko NILIVYODHALILISHWA KWA KUZUNGUMZA LUGHA YA KISWAHILI

interview

Mwalimu na wanafunzi ofisini.

Nakumbuka namna mvua ilikuwa inatunyeshea mchana kutwa tulipokuwa safarini (usiulize tulikuwa na nani. Hayo ni ya siku nyingine). Safari ya kutoka jijini Nairobi kuelekea eneo la *Kiduni. Usishangae kuwa kunyesha kwa mvua hiyo hakukuitia imani yangu baridi. Baridi iliyokusudia kutugeuza kuku aliyenyonyolewa chini ya pepo zitokazo pande zote duniani. Ninachojaribu kusema ni kwamba, nilikuwa katika safari ya kwenda kuonja kipande kingine cha maisha au bora niseme, kuandika ibara nyingine ya maisha yangu.

Baada ya saa kadhaa za kusumbuana na utingo, tulifika katika Chuo cha Ualimu cha *Nira. Ilikuwa mara yangu ya kwanza kuingia humo, sikwambii kufika Kiduni. Watu wachache walikuwa bado wamepiga foleni wakisubiri ima kusajiliwa rasmi chuoni au kuwashika mikono wana wao katika shughuli hiyo nzima. Nilijua sikuwa na kila kitu kilichokuwa kinahitajika; si vitabu si si idadi tosha ya pesa. Ile kauli ya ‘mtu hujikuna ajipatapo’, nilijua haingenifaa wakati kama huo. Nilikuwa kama mbuzi mbele ya hakimu chui! Hebu nisonge mbele kidogo… Continue reading

@DennisShonko UFANISI WA TAMASHA YA KISWAHILI MWAKA WA 2017—BURUBURU

UFANISI WA TAMASHA YA KISWAHILI MWAKA WA 2017—BURUBURU

UFANISI WA TAMASHA YA KISWAHILI MWAKA WA 2017—BURUBURU

Kwa mwaka wa pili mfululizo, Tamasha ya Kiswahili iliandaliwa katika ukumbi wa Huduma ya Maktaba kwa Taifa nchini Kenya (Jumamosi, Oktoba 14, 2017) eneo la Buruburu. Ingawa sikubahatika  kuhudhuria tamasha yenyewe mwaka wa 2016, nilihabarishwa ilivyokuwa yakuigwa.

   Bw Almasi bin Ndangili—ambaye ndiye aliyeibuka na wazo la kuwapo tamasha kama hiyo, ndiye aliyenipa mwaliko. Sawa na wapenzi wengine wa lugha ya Kiswahili, nilifika mapema ukumbini licha ya kukanyaga chechele hapa na pale safarini nikiwa na mwalimu mwenzangu, Peter. Baada ya kitambo kifupi, Bw Ndangili aliyekuwa mratibu na mshereheshaji wa hafla na mwandishi wa tamthilia ya Kifo cha Mwandisi Mmachinga iliyoigizwa hapo baadaye, aliifungua warsha. Stacy alituongoza katika kuuimba wimbo wa taifa. Baadhi ya majina yakutajika yalitambulishwa kwetu k.v Swaleh Mdoe, Bi Pauline Kea, Daktari Hamisi Babusa na Profesa Kineene wa Mutiso waliokuwa wamefika mle. Continue reading

Tumbo Lisiloshiba-Alifa Chokocho na Dumu Kayanda

Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine ni mkusanyo wa hadithi fupi zilizoandikwa na waandishi waliobobea na wale wanaochipuka katika uandishi wa utanzu wa hadithi fupi. Hadithi katika mkusanyo huu zimeandikwa kwa ubunifu na kwa kuzingatia maswala ibuka katika jamii inayokwenda na utandawazi na usasaleo. Mkusanyo huu unaangazia maudhui mbalimbali kama vile: siasa, dini, ulemavu, masuala ya kijinsia, elimu, ukware, ulaghai, uchumi, mazingira, umaskini, uongozi, ukabila, mapenzi, ndoa, ushirikina miongoni mwa mengine. Masuala yaliyoshughulikiwa katika mkusanyo huu yataibua ilhamu ya msomaji, msomi, mtafiti na wanafunzi katika maisha yao. Maudhui, mtindo, lugha na uhusika ni viungo vilivyosukwa kwa namna ya kipekee katika mkusanyo huu.  Continue reading

Chozi la Heri na Assumpta K.Matei

Chozi la Heri na Assumpta K.Matei

aq

Mungu wangu! Huyu si ndugu yangu Mwaliko?” alisema Umu kimyakimya. Dick naye alikuwa kaghumiwa, hajui ia kusema. Anamtazama mnuna wake kana kwamba ni Mr Super Man katika sinema za kijasiri. Wote wawili walitazamana, kila mmoja akiapa moyoni kuwa amewahi kumwona kiumbe huyu mahali, lakini hakuna aliyethubutu kunena. Continue reading

So Long a Letter by Mariama Ba

So Long a Letter by Mariama Ba

So Long a Letter by Mariama Ba

Written by award-winning African novelist Mariama Ba and translated from the original French, So Long a Letter has been recognized as one of Africa’s 100 Best Books of the 20th Century. The brief narrative, written as an extended letter, is a sequence of reminiscences—some wistful, some bitter—recounted by recently widowed Senegalese schoolteacher Ramatoulaye Fall. Continue reading

Homa ya Nyumbani na Hadithi Nyingine : Profesa Ken Walibora na Said A Mohamed.

Kazi mpya..kutoka jiko la Phoenix Publishers… Hadithi 15, waandishi mbalimbali kutoka kote Afrika Mashariki, mkusanyiko huu wa hadithi fupi umehaririwa na Profesa Ken Walibora na Said A Mohamed. Waandishi ni pamoja na Doreen Baingana (Uganda), Patience Onyut (Uganda), Mohammed Ghassani (Pemba), Prof. Ken Walibora, Prof. Said A Mohamed, Prof Farouk Topan, Magayu Magayu na wengineo. Pata nakalayo!

Nukuu: Phoenix Publishers Ltd.

Homa ya Nyumbani na Hadithi Nyingine : Profesa Ken Walibora na Said A Mohamed.

Homa ya Nyumbani na Hadithi Nyingine : Profesa Ken Walibora na Said A Mohamed.

Continue reading

Kisasi Hapana! – Ken Walibora

Kisasi Hapana! - Ken Walibora

Kisasi Hapana! – Ken Walibora

Kisasi Hapana! 8a ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za .msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma.

*Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: masimulizi rahisi kwa njia ya barua ya kirafiki, utambaji hadithi, hadithi ndani ya hadithi na usimulizi kwa nafsi ya kwanza umoja.

*kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, tashbihi, takriri, kejeli, chuku, tanakali za sauti, maswali ya balagha, taswira na picha za rangi zenye kusisimua.

Text Book Centre Jomo Kenyatta Prize for literature 2015, Winners

1) Adult English Category

BOOK: Dust
AUTHOR: Yvonne Adhiambo Owuor
PUBLISHER: Kwani Trust.

Dust

Dust

2) Adult Kiswahili Category

BOOK: Pendo la Karaha
AUTHOR: John Habwe
PUBLISHER: Moran Publishers (EA) Ltd.

Pendo la Karaha

Pendo la Karaha

Continue reading

Nyuso za Mwanamke – Said A. Mohamed, 2010

Nyuso za Mwanamke - Said A. Mohamed, 2010

Nyuso za Mwanamke – Said A. Mohamed, 2010

Nyuso za Mwanamke

Said A. Mohamed, 2010

Sasa Sema (Longhorn Publishers)

Msichana Nana

“Nana, msichana mrembo anajipata katikati ya jamii yenye mielekeo ya kumfinyanga mwanamke na kumyumbisha kama kayamba. Kila anayemwona Nana anamchukulia kuwa ni pambo la mji lenye nyuso nyingi au llisilokuwa na uso hata mmoja…” Continue reading

NASIKIA SAUTI YA MAMA – Tawasifu ya Prof. Ken Walibora

Baada ya tamthilia yake ya pili [MBAYA WETU] kuingia madukani, Prof. Ken Walibora ‘kaibua kitabu kinachoeleza safari ya maisha yake ilovyouwa na inavyozidi kuwa kila jua linapochomoza.

Uketo wa Lugha

“Nasikia Sauti ya Mama” ina uketo wa lugha ya kiswahili inayodhihirisha ukwasi al’onao profesa Ken na mno, weledi wake wa kuyaeleza mengi kwa njia ya kusisimua hivyo kumnata msomaji.

………

Heko kwa wanalonghorn Publishers kwa kujitoma katika hili la tawasifu: NASIKIA SAUTI YA MAMA (Ken Walibora) na “MBALI NA NYUMBANI (Adam Shafi) ni tuzo bora kwetu sote!

NASIKIA SAUTI YA MAMA - Tawasifu ya Prof. Ken Walibora

NASIKIA SAUTI YA MAMA – Tawasifu ya Prof. Ken Walibora

Continue reading

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine – Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine - Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine – Leonard Sanja

Mwavyaji wa Roho na hadithi Nyingine ni mkusanyiko unaoleta pamoja mawazo, hisia na fikra za waandishi mahiri kuhusu jamii. Ni juhudi za kuakisi ukweli wa hali halisi ilivyo na kumchorea msomaji taswira kamili kuhusu madhila ya uongozi, njaa, dawa za kulevya na mahusiano ya kijamii; kwa ujumla yaliyodorora. Wakati huo huo, wanamzindua juu ya mabadiliko; kuu likiwa kupatikana kwa katiba mpya.

Waandishi basi hawakuzungumzia madhila tu ila wanapendekeza jinsi suluhu ya baadhi ya matatizo inavyoweza kupatikana. Tashtiti, maswali ya balagha na tashbihi zilizoshamiri katika nyingi za hadithi hizi zinadhihirisha uchungu, kero, dhiki na kiu ya waandishi; msukumo wa kutaka kuhusika na kujihusisha na kupatikana kwa jamii bora. Wanaamini haya ndio matamanio ya wasomaji na jamii kwa jumla.

Continue reading

Scarlet Song by Mariama Bâ

Scarlet Song by Mariama Bâ

Scarlet Song by Mariama Bâ

Mariama Bâ (April 17, 1929 – August 17, 1981) was a Senegalese author and feminist, who wrote in French. Born in Dakar, she was raised a Muslim, but at an early age came to criticise what she perceived as inequalities between the sexes resulting from African traditions. Raised by her traditional grandparents, she had to struggle even to gain an education, because they did not believe that girls should be taught. Bâ later married a Senegalese member of Parliament, Obèye Diop, but divorced him and was left to care for their nine children.

Her frustration with the fate of African women—as well as her ultimate acceptance of it—is expressed in her first novel, So Long a Letter. In it she depicts the sorrow and resignation of a woman who must share the mourning for her late husband with his second, younger wife. Abiola Irele called it “the most deeply felt presentation of the female condition in African fiction”. This short book was awarded the first Noma Prize for Publishing in Africa in 1980.[1] Continue reading

Maisha Kitendawili – John Habwe.

Riwaya hii ya kusisimua inatuingiza katika bahari tesi ambamo asiyesimama imara huzama ji! Unapoisoma unachukuliwa na wimbi la vitushi vya hadithi iliyotambwa kwa hadithi ya kipekee.

Jomo Kenyatta Foundation.
John Habwe.

Maisha Kitendawili - John Habwe.

Maisha Kitendawili – John Habwe.

Continue reading

“The Politics of Betrayal in Kenya” by Joe Khamisi

– Former MP Joe Khamisi has authored a thought-provoking book entitled, The Politics of Betrayal in Kenya, aimed at‘exposing the rot in the Kenya political system’. The book illustrates how the electorate has been betrayed their political ‘leaders’.

It mainly centres on the politically shaky period between 2001 and 2008 and particularly on president Kibaki’s first term in office (when the author was himself a member of parliament). It also delves into historical happenings like President Moi’s rule (1978-2002) mentions instances of gov’t repression and grand corruption. Continue reading

More About Sheikh Shaaban Bin Robert ‘Shaaban Robert’

More About Sheikh Shaaban Bin Robert ‘Shaaban Robert’

More About Sheikh Shaaban Bin Robert ‘Shaaban Robert’

Sheikh Shaaban Bin Robert (often abbreviated as ‘Shaaban Robert’) had humble beginnings – he was an unasumming primary school dropout with a gift for storytelling.

He wrote prose, poetry and essays and employed a very wide range of literary devices, including allegory and personification. He wasn’t merely a storyteller – he was more of a teacher and socio-political commentator, using literature as a tool.

He tackled such themes as justice, law, love, peace, brotherhood and the human condition. His many and varied works made a big contribution to Swahili literature and culture. Continue reading

Sowing the Mustard Seed by Yoweri Kaguta Museveni

Sowing the Mustard Seed by Yoweri Kaguta Museveni

Sowing the Mustard Seed by Yoweri Kaguta Museveni

Sowing the Mustard Seed contains a graphic account of a turbulent period in Uganda and provides an insider’s account of the wasted years following Amin’s overthrow in 1979. When Uganda’s first general election in two decades was rigged in December 1980, Museveni launched a guerilla war to fight against Milton Obote’s Sectarian dictatorship.

The war of liberation started in February 1981 with only 27 guns, and the National Resistance Movement and Army eventually took power in January 1986 and began the arduous task of rebuilding a shattered nation. Continue reading

Hafla ya Uzinduzi wa Tamthilia ya ‘Mbaya Wetu’ – Ken Walibora

“Tunakualika rasmi kwa uzinduzi huu utakaongozwa na PLO. Lumumba na Ken Walibora. Zaidi, kutakuwa na mchezo wa kuigiza kuhusu kitabu.

 

Hafla ya Uzinduzi wa Tamthilia ya 'Mbaya Wetu' - Ken Walibora

Hafla ya Uzinduzi wa Tamthilia ya ‘Mbaya Wetu’ – Ken Walibora