Riwaya ya ASALI CHUNGU na Said Ahmed Mohamed

Riwaya ya ASALI CHUNGU na Said Ahmed Mohamed

Riwaya ya ASALI CHUNGU na Said Ahmed Mohamed

Riwaya ya ASALI CHUNGU – Hii ni safari ya kufunzwa na  maisha, kujifunza kwa kuonja ladha mbalimbali. Ni safari ya watu wengi wajitokezao katika matengo mawili. Kwanza akina Bwana Zuberi, D.c. na Bi Amina mkewe- wenye vyeo, utukufu na mali, na pili, akina Dude, Semeni, Shaabani Supu, Pili, Baya na Biti Daudi wanaonuka ufukara. Wote hawa wamo katika safari moja; Safari ya ugunduzi ambamo wanasoma mengi bila kujua, mpaka mwisho… Continue reading