Kisasi Hapana! – Ken Walibora

Kisasi Hapana! - Ken Walibora

Kisasi Hapana! – Ken Walibora

Kisasi Hapana! 8a ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za .msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma.

*Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: masimulizi rahisi kwa njia ya barua ya kirafiki, utambaji hadithi, hadithi ndani ya hadithi na usimulizi kwa nafsi ya kwanza umoja.

*kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, tashbihi, takriri, kejeli, chuku, tanakali za sauti, maswali ya balagha, taswira na picha za rangi zenye kusisimua.

Riwaya ya Mkakasi – Geoffrey Mung’ou

Riwaya ya Mkakasi - Geoffrey Mung’ou

Riwaya ya Mkakasi – Geoffrey Mung’ou

Riwaya ya Mkakasi ni Riwaya inayozua hoja tofauti tofauti na kurejelea maudhui si haba k.v Migomo katika vyuo vikuu, virusi vya ukimwi, migogoro, elimu na kadhalika.  Continue reading