“A gripping Swahili novel, full of suspense. This novel is a satire of the evils of tribalism bedeviling Africa, especially so Rwanda. Ken Walibora writes with a Swahili language that is equally educative. Kitabu kizuri.”
kufa kuzikana
Ni hadithi ya urafiki kati ya vijana wawili, Akida na Tim, wanaotoka
kwenye makabila yenye uadui.
Ni hadithi ya migogoro, migongano, vikwazo na vizingiti katika uhusiano
wao.
Je, urafiki wao huo unaweza kuvistahimili vishindo hivyo?
Je, ni urafiki wa kinafiki au una nguvu ambazo havishindiki?
Inasimulia masuala nyeti kama vile ukabila na utamaduni, maadili na
mapenzi, usawa wa kijinsia na uhuru wa mtu binafsi, kwa uwazi na uchesi
wa kupigiwa mfano.
Sales price without tax: Ksh: 460.00
Tax amount: Ksh: 73.60
Sales price: Ksh: 533.60
Publishers: Longhorn Publishers
ISBN: 9966 49 754 4
Riwaya ya Kufa Kuzikana kwa hakika, ni Riwaya inayoakisi hali ilivyo katika nchi nyingi Duniani haswa Bara la Afrika.
Did you read this? http://t.co/atrg8rpfuq
— Ken Walibora (@KenWalibora) December 3, 2013
Ukabila ni virusi ambavyo vimewamega wengi na kuwapokeza mengi yenye majuto, kite, shake na kwikwi lakini licha ya hayo, muhimu ni ule moyo wa kusamehe, kupendana na kusonga mbele pamoja ili angaa vituepuke.
Related articles
- Ken Walibora – Siku Njema (literatureafrica.wordpress.com)
- Best Authors From Kenya. (literatureafrica.wordpress.com)
- Ebook Publishing In Kenya (successful-ebook-publishing.com)
Miongoni mwa Riwaya Bora Afrika
Downloading that Novel of Rafiki kufa kuzikana what are rules. Naomba PDF ili niweze kuwa nayo naipenda sana
I really enjoy reading this Novel…
Pingback: Riwaya ya Mkakasi – Geoffrey Mung’ou | | Fasihi | Literature in Africa |
Pingback: Riwaya ya Heri Subira – Omar Babu ( Abu Marjan) | | Fasihi | Literature in Africa |
Pingback: “Mhanga Nafsi Yangu” Riwaya Mpya yake Said A. Mohamed | | Fasihi | Literature in Africa |
Pingback: Ndoto ya America – The American Dream by Ken Walibora | | Fasihi | Literature in Africa |
Pingback: Tamthilia ya “Amri ya Wakati” na Said Ahmed Mohamed | | Fasihi | Literature in Africa |
nitumie muongozo wa kufa kuzikana novel….mnisaidie kutoka uganda EDVAN.
Incredible points. Solid arguments. Keep up
the great work.
Hello, i think that i saw you visited my website thus i came to “return the
favor”.I’m trying to find things to improve mmy website!I suppose its ok to use some of your
ideas!!
Pingback: URL
ntaget wapi muongozo???help m plzzz
Pingback: limited tort lawyer
“Riwaya Kamili”
napataje riwaya kamili online (kufa kizikana )
Napenda hadithi hizi